Wachezaji wa Arsenal, Olivier Giroud na Aaron Ramsey wakiwa wanyonge baada ya kufungwa bao la tatu na Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana wakilala 3-1 mbele ya wenyeji wao hao Uwanja Liberty, Wales. Arsenal walitangulia kwa bao la Nacho Monreal dakika ya 33, kabla ya Sam Clucas kuisawazishia Swansea dakika moja tu baadaye na kufunga la tatu dakika ya 86 kufuatia Jordan Ayew kufunga la pili dakika ya 61. Henrikh Mkhitaryan aliyesajiliwa kwa kubadilishwa na Alexis Samchez aliyekwenda Manchester United alicheza mechi yake ya kwanza Arsenal jana akiingia kuchukua nafasi ya Mohamed Elneny dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hearts 2-0 Aberdeen: Flying start fuels high hopes that Derek McInnes can
disrupt natural order
-
As Tony Bloom talks the talk about his lofty ambitions for Hearts, Derek
McInnes and his players indicated they are ready to walk the walk in the
Premiership.
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment