Alexis Sanchez akipanda ndege na wachezaji wenzake wa Manchester United kwenda mjini Yeovil, Somerset kwa ajili ya mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo dhidi ya wenyeji, Yeovil Town Uwanja wa Huish Park. Huo utakuwa mchezo wa kwanza baada ya Sanchez kusajiliwa kutoka Arsenal kwa mshahara wa Pauni 600,000 mapema wiki hii PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup winner Bern sets 'bigger, better, faster, stronger' goals
-
England and Bristol prop Sarah Bern on her aim to get "bigger, better,
faster, stronger" this season for the PWR club.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment