Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Michy Batshuayi akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia The Blues mabao mawili dakika za 31 na 44 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Marcos Alonso dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ruthless Boulter sends GB into BJK Cup semi-finals
-
A ruthless Katie Boulter secures Great Britain's place in the Billie Jean
King Cup semi-finals with a 2-0 win against Japan.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment