Lionel Messi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza Deportivo Alaves 2-1 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Alaves ilitangulia kwa bao la John Guidetti dakika ya 23, kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup winner Bern sets 'bigger, better, faster, stronger' goals
-
England and Bristol prop Sarah Bern on her aim to get "bigger, better,
faster, stronger" this season for the PWR club.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment