SIMBA SC NA MAJI MAJI KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA
Mshambuliaji Mganda wa Simba, Emmanuel Okwi akiwarukia wachezaji wa Maji Maji kuwahi mpira katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 4-0
Nahodha na mshambuliaji wa Simba, John Bocco akimiliki mpira mbele ya beki wa Maji Maji jana
John Bocco akiifungia Simba bao la kwanza kwa kichwa jana
Beki wa Maji Maji, Kennedy Kipepe akimrukia mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi mguu wa shingo
Winga machachari wa Simba, Shiza Kichuya akiwakimbia wachezaji wa Maji Maji
Beki wa Simba, Mghana Asante Kwasi (kulia) akipiga chenga ili kumpita beki wa Maji Maji Lucas Kikoti jana
Beki wa Simba Shomary Kapombe akipanda na mpira katika mchezo wa jana
Kocha mpya wa Simba, Mfaransa Pierre Lechantre (kushoto) na wasaidizi wake, kocha wa mazoezi ya utimamu wa mwili, Mtunisia Mohamed Aymen Hbibi (katikati) aliyekuja naye na Mrundi, Masoud Juma (kulia) aliyemkuta
Kikosi cha Maji Maji kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
England drawn with Spain in World Cup qualifying
-
England are drawn with Spain in their qualifying group for the 2027 Women's
World Cup as Scotland, Wales, Northern Ireland and Republic of Ireland all
lear...
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment