Jay Rodriguez akifurahia baada ya kuifungia West Bromwich Albion mabao mawili dakika za saba na 11 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji, LIverpool kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England Uwanja wa Anfield usiku wa Jumamosi. Bao lingone la West Brom limefungwa na Joel Matip aliyejifunga dakika ya 47, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya tano na Mohamed Salah dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'I'm in disbelief' - England's Penge rivals McIlroy for Race to Dubai after
ban
-
English golfer Marco Penge says he is "in disbelief" as he prepares to tee
off the DP World Tour's penultimate tournament with a chance of winning the
Race...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment