Jay Rodriguez akifurahia baada ya kuifungia West Bromwich Albion mabao mawili dakika za saba na 11 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji, LIverpool kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England Uwanja wa Anfield usiku wa Jumamosi. Bao lingone la West Brom limefungwa na Joel Matip aliyejifunga dakika ya 47, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya tano na Mohamed Salah dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ENGLAND VS INDIA SERIES RATINGS: Who was box office, who led from the front
and who will head to the Ashes with a question mark over his head?
-
India completed one of the most dramatic Test match victories ever seen on
British soil, squaring the series with a stunning six-run victory after
Chris Wo...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment