Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling (katikati) akinyoosha vidole juu kushangili baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 37 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Cardiff City leo Uwanja wa Cardiff City katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England. Bao la kwanza lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya nane huku, Cardiff ikimpoteza mchezaji wake, Joe Bennett aliyetolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'I'm in disbelief' - England's Penge rivals McIlroy for Race to Dubai after
ban
-
English golfer Marco Penge says he is "in disbelief" as he prepares to tee
off the DP World Tour's penultimate tournament with a chance of winning the
Race...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment