Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling (katikati) akinyoosha vidole juu kushangili baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 37 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Cardiff City leo Uwanja wa Cardiff City katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England. Bao la kwanza lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya nane huku, Cardiff ikimpoteza mchezaji wake, Joe Bennett aliyetolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City vs Brentford - Premier League LIVE: Citizens hoping to
close gap on league leaders Arsenal in title race
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Manchester City host Brentford at the Etihad in the Premier
League.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment