Emre Can akiruka juu kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 26 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town Uwanja wa The John Smith mjini Huddersfield, West Yorkshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Wekundu hao, yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 45 na Mohamed Salah dakika ya 78 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'I'm in disbelief' - England's Penge rivals McIlroy for Race to Dubai after
ban
-
English golfer Marco Penge says he is "in disbelief" as he prepares to tee
off the DP World Tour's penultimate tournament with a chance of winning the
Race...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment