Emre Can akiruka juu kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 26 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town Uwanja wa The John Smith mjini Huddersfield, West Yorkshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Wekundu hao, yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 45 na Mohamed Salah dakika ya 78 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former college and NFL coach Derek Dooley joins Senate race in Georgia
-
A former college and NFL coach has announced a shock move into politics as
he joined the Senate race in Georgia. He was previously the head coach of
the Un...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment