Beki Mbrazil, Dani Alves akishangilia baada ya kufunga bao lake la kwanza leo tangu ahamie Ligue 1 katika ushindi wa 2-1 wa Paris Saint-Germain dhidi ya wenyeji, NIce Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Alves alifunga dakika ya 82 hilo likiwa bao la pili baada ya Angel Di Maria kufunga la kwanza dakika ya 21 lililokuwa la kusawazisha baada ya Allan Sant-Maximin kuanza kuifungia NIce dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The heartbreaking reason AFL star is the only player in his team
who wears a black armband every game
-
Western Bulldogs midfielder Oskar Baker is the type of player every club
loves to have on their books - and now it can revealed why he wears a black
armban...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment