Mshambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 37 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion jana Uwanja wa Old Trafford, bao la pili likifungwa na Nemanja Matic dakika ya 83 na sasa Mashetani hao Wekundu wanakwenda Nusu Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How are Manchester United able to afford Sesko?
-
Recent news surrounding Manchester United's finances has not been positive
- which will have left fans wondering how they are able to finance a move
for RB...
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment