Shabiki wa Simba akiwa amebebwa na wenzake baada ya kupoteza fahamu kufuatia timu yake kufungwa 1-0 na Kagera Sugar Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam jana
Mashabiki wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao baada ya kupoteza fahamu jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Mechi ya jana ilihudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli
Shabiki huyu aliwastaajabisha wengi juu ya kuzimia kwake
Alikuwa amelegea kabisa na chanzo cha kupoteza kwake fahamu hakikujulikana mapema
Matt Damon Revives Iconic Impression for All-Star ‘SNL’ Cold Open
-
Returning host Matt Damon reprised his famous role as Supreme Court Justice
Brett Kavanaugh in the latest Saturday Night Live cold open. Damon first
appear...
13 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment