Mshambuliaji Mbrazil, Gabriel Jesus akisaini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kuichezea Manchester City hadi mwaka 2023 ambao unamfanya sasa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 awe analipwa Pauni 100,000 kutoka 70,000 kwa wiki alizokuwa analipwa katika mkataba wake wa awali aliosaini Januari 1, mwaka jana 2017. Jesus amefunga mabao 24 tangu ajiunge na Man City akiiwezesha pia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NRL player turned TV star Matt Nable lost his brother to motor neurone
disease. Now he opens up about another close family member who has been hit
by the cruel, incurable condition
-
The former Manly and Souths star turned acclaimed actor in productions like
Hacksaw Ridge is helping continue the fight to find a cure.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment