Mshambuliaji Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Tottenham Hotspur dakika ya 77 ikiilaza 3-1 Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley, London leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Lucas Moura dakika ya 43 na Kieran Trippier dakika ya 74, wakati la Fulham limefungwa na Aleksandar Mitrovic dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Carrick caught a worrying glimpse of the future during Man United's
stalemate at Sunderland, writes CHRIS WHEELER - while the future looks
bleak for one £36.5m signing
-
CHRIS WHEELER: Of more concern to Carrick will be how much United missed
the midfielder at the Stadium of Light. They missed his experience and
poise in mi...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment