Washambuliaji wa Paris Sant Germain, Neymar (kulia) na Kylian Mbappe (kushoto) wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Guingamp kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Jumamosi Uwanja wa Stade du Roudourou mjini Guingamp. Neymar alifunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 53, baada ya Nolan Roux kutangulia kuifungia Guingamp dakika ya 20, kabla ya Mbappe kufunga mawili dakika za 82 na 90
The Lakers are playing as well as they can — and it doesn't matter against
the Thunder
-
After a Game 3 blowout at home, it's obvious L.A. isn't deep enough, young
enough or talented enough. Would Luka Dončić have made a difference for a
team w...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment