Wachezaji wa Yanga SC kabla ya mechi ya Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati dhidi ya wenyeji, Express FC ‘Read Eagles’ mwaka 1993 Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala, Uganda. Yanga ilishinda 3-1. Kutoka kulia ni Kenneth Mkapa, Steven Nemes, David Mwakalebela, Zamoyoni Mogella, Edibily Lunyamila, Abubakar Salum ‘Sure Boy’, Mohammed Hussein ‘Mmachinga’, Steven Mussa (marehemu), Method Mogella (marehemu), Mtwa Kihwelo, Issa Athumani (marehemu), Suleiman Mkati, Willy Mtendamema, Willy Martin, Said Mwamba ‘Kizota’ (marehemu), Riffat Said (marehemu), Dk. Shecky Mngazija na kocha Nzoyisaba Tauzany (marehemu). Yanga SC iliibuka bingwa wa michuano hiyo baada ya kuifunga na SC Villa 2-1 kwenye fainali
Jake Paul's fight with Gervonta 'Tank' Davis cancelled amid domestic 
violence lawsuit
                      -
                    
Paul's 'Most Valuable Promotions' confirmed on Monday night that they are 
instead planning for the YouTuber-turned-boxer to headline another event on 
Nextf...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment