Wachezaji wa Yanga SC kabla ya mechi ya Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati dhidi ya wenyeji, Express FC ‘Read Eagles’ mwaka 1993 Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala, Uganda. Yanga ilishinda 3-1. Kutoka kulia ni Kenneth Mkapa, Steven Nemes, David Mwakalebela, Zamoyoni Mogella, Edibily Lunyamila, Abubakar Salum ‘Sure Boy’, Mohammed Hussein ‘Mmachinga’, Steven Mussa (marehemu), Method Mogella (marehemu), Mtwa Kihwelo, Issa Athumani (marehemu), Suleiman Mkati, Willy Mtendamema, Willy Martin, Said Mwamba ‘Kizota’ (marehemu), Riffat Said (marehemu), Dk. Shecky Mngazija na kocha Nzoyisaba Tauzany (marehemu). Yanga SC iliibuka bingwa wa michuano hiyo baada ya kuifunga na SC Villa 2-1 kwenye fainali
Namewee to be remanded over Taiwanese influencer Iris Hsieh’s death; Taiwan
seizes US$150m, detains 25 in Prince Group scam probe: SIngapore live news
-
Namewee wanted in Taiwan influencer Iris Hsieh’s death reclassified murder.
Taiwan seizes US$150 million Prince Group assets, 25 held in scam probe
tied to...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment