Wachezaji wa Crystal Palace wakimpongeza mwenzao, Connor Wickham baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya tisa katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Bao la pili lilifungwa na Andros Townsend kwa penalti dakika ya 34 baada ya Kyle Walker-Peters kuushika mpira kwa mkono kwenye boksi, kabla ya Spurs nao kukosa penalti kufuatia mkwaju wa Kieran Trippier kutoka nje PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the stunning moment AFL grand final performer pleads for help in the
middle of his song as he's hit by horror technical stuff-up at the MCG
-
Aussie music legend Mike Brady has endured a nightmare moment on stage at
the AFL grand final, with soundtrack issues flattening his performance of
Up Ther...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment