Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Arsenal dakika ya 14 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Bao la pili la Arsenal limefungwa na Laurent Koscielny dakika ya 39 na ushindi huo unaifanya Arsenal ifikishe pointi 44 baada ya kucheza mechi 23, ikiendelea kushika nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu, sasa ikizidiwa pointi tatu na Chelsea iliyo nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Swiatek becomes latest seed to fall at Canadian Open
-
Wimbledon champion Iga Swiatek becomes the latest seed to fall at the
Canadian Open as she loses to Clara Tauson in the fourth round.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment