Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Arsenal dakika ya 14 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Bao la pili la Arsenal limefungwa na Laurent Koscielny dakika ya 39 na ushindi huo unaifanya Arsenal ifikishe pointi 44 baada ya kucheza mechi 23, ikiendelea kushika nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu, sasa ikizidiwa pointi tatu na Chelsea iliyo nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
How Athletic Club's unique player policy drives success
                      -
                    
BBC Sport visits Bilbao to explore Athletic Club's policy of fielding only 
Basque players, how this approach has brought success, and the importance 
of the...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment