Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Arsenal dakika ya 14 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Bao la pili la Arsenal limefungwa na Laurent Koscielny dakika ya 39 na ushindi huo unaifanya Arsenal ifikishe pointi 44 baada ya kucheza mechi 23, ikiendelea kushika nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu, sasa ikizidiwa pointi tatu na Chelsea iliyo nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Micky van de Ven runs length of the pitch to score INCREDIBLE goal for
Tottenham as Thomas Frank jokes he 'turned into Lionel Messi'
-
MATT BARLOW: Thomas Frank joked that Micky van de Ven has permission to
carry on snubbing him if it helps Tottenham's flying Dutchman transform
anger into ...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment