Mchezaji wa Mbao FC, Ibrahim Njohole akikabidhiwa mfano wa hundi wa dola 500 za KImarekani, zaidi ya Sh. Milioni 12. za Tanzania baada ya kuchaguliwa Mchezaji Bora wa mechi dhidi ya Gor Mahia ya Kenya jana katika mchezo wa SportPesa Super Cup jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Mbao ilishinda kwa penalti 4-3 baada ya sare ya 1-1 na kwenda Nusu Fainali ambako itakutana na Kariobangi Sharks
McLarens struggle as Leclerc fastest in practice
-
McLaren's title contenders Lando Norris and Oscar Piastri struggle in first
practice at the Las Vegas Grand Prix as Charles Leclerc sets the pace.
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment