Mchezaji wa Mbao FC, Ibrahim Njohole akikabidhiwa mfano wa hundi wa dola 500 za KImarekani, zaidi ya Sh. Milioni 12. za Tanzania baada ya kuchaguliwa Mchezaji Bora wa mechi dhidi ya Gor Mahia ya Kenya jana katika mchezo wa SportPesa Super Cup jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Mbao ilishinda kwa penalti 4-3 baada ya sare ya 1-1 na kwenda Nusu Fainali ambako itakutana na Kariobangi Sharks
See the stunning moment AFL grand final performer pleads for help in the
middle of his song as he's hit by horror technical stuff-up at the MCG
-
Aussie music legend Mike Brady has endured a nightmare moment on stage at
the AFL grand final, with soundtrack issues flattening his performance of
Up Ther...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment