Wissam Ben Yedder akishangilia bao la pili aliloifungia Sevilla kwenye ushindi wa 2-0 dhidi ya Barcelona kwenye Robo Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme Hispania jana kwa kufunua jezi yake kuonyesha maandishi ya kusikitikia kupotea kwa rafiki yake, mwanasoka mwenzake Emiliano Sala. Bao la kwanza la Sevilla lilifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 58 Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla na Sala alipotea mwanzoni mwa wiki kufuatia kuanguka kwa ndege binafsi aliyopanda kwa safari ya Uingereza kwenda kujiunga na klabu yake mpya, Cardiff City kutoka Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McLarens struggle as Leclerc fastest in practice
-
McLaren's title contenders Lando Norris and Oscar Piastri struggle in first
practice at the Las Vegas Grand Prix as Charles Leclerc sets the pace.
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment