Gabriel Jesus akishangilia kwa ishara ya kupiga simu baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 23 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Burnley leo kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Manchester City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 52, Kelvin De Bruyne dakika ya 61, Kevin Long aliyejifunga dakika ya 73 na Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 85 na kwa ushindi huo timu ya Pep Guardiola inakwenda Raundi ya Tano ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the stunning moment AFL grand final performer pleads for help in the
middle of his song as he's hit by horror technical stuff-up at the MCG
-
Aussie music legend Mike Brady has endured a nightmare moment on stage at
the AFL grand final, with soundtrack issues flattening his performance of
Up Ther...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment