Nyota wa Argentina, Lionel Messi akishangilia na Jordi Alba baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 68 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Girona kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona kufuatia Nelson Semedo kufunga la kwanza dakika ya tisa. Kwa ushindi huo, Barca inafikisha pointi 49 na kuendelea kuongoza La Liga kwa pointi 10 zaidi ya mahasimu wao, Real Madrid walio katika nafasi ya tatu, nyuma ya Atletico Madrid wenye pointi 44 baada ya timu zote kucheza mechi 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the stunning moment AFL grand final performer pleads for help in the
middle of his song as he's hit by horror technical stuff-up at the MCG
-
Aussie music legend Mike Brady has endured a nightmare moment on stage at
the AFL grand final, with soundtrack issues flattening his performance of
Up Ther...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment