Nyota wa Argentina, Lionel Messi akishangilia na Jordi Alba baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 68 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Girona kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona kufuatia Nelson Semedo kufunga la kwanza dakika ya tisa. Kwa ushindi huo, Barca inafikisha pointi 49 na kuendelea kuongoza La Liga kwa pointi 10 zaidi ya mahasimu wao, Real Madrid walio katika nafasi ya tatu, nyuma ya Atletico Madrid wenye pointi 44 baada ya timu zote kucheza mechi 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Google agrees to curb power use for AI data centers to ease strain on US
grid when demand surges
-
NEW YORK, August 4 (Reuters) -Google has signed agreements with two U.S.
electric utilities to reduce its AI data center power consumption during
times of ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment