Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili, dakika za 42 kwa penalti na 77 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Girona kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Kombe la Mfalme jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Lucas Vázquez dakika ya 18 na Karim Benzema dakika ya 80, wakati ya Girona yalifungwa na Anthony Lozano dakika ya saba na Alex Granell kwa penalti dakika ya 66 na timu hizo zitarudiana Januari 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment