Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza kwa penalti dakika ya 27 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Brighton and Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao la pili la Man United limefungwa na mshambuliaji Marcus Rashford dakika ya 42, wakati la Brighton limefungwa na Pascal Gross dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chicago Bears star's dad demands his son be traded before NFL deadline
-
With a few hours remaining until the NFL trade deadline, players are on
edge to see if they may be moved. One star wide receiver's father is hoping
that ha...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment