Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kuongoza dakika ya tatu 1-1 kabla ya Harry Maguire kuisawazishia Leicester City katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Liverpool inafikisha pointi 61 baada ya sare ya jana katika mechi ya 24, ikiendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi tano zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McLarens struggle as Leclerc fastest in practice
-
McLaren's title contenders Lando Norris and Oscar Piastri struggle in first
practice at the Las Vegas Grand Prix as Charles Leclerc sets the pace.
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment