Mkurugenzi wa Michezo, Dk.Yussuf Singo akimkabidhi kiungo Mzambia Simba SC, Clatous Chama mfano wa hudi ya dola 500, zaidi ya Sh. Milioni 1.2 za Tanzania baada ya kuwa Mchezaji Bora wa Mechi dhidi ya AFC Leopards michuano ya SportPesa Super Cup jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-1 na kufanikiwa kutinga Nusu Fainali na sasa itamenyana na Bandari ya Kenya pia
Former college and NFL coach Derek Dooley joins Senate race in Georgia
-
A former college and NFL coach has announced a shock move into politics as
he joined the Senate race in Georgia. He was previously the head coach of
the Un...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment