Gabriel Jesus wa Manchester City (katikati) akijaribu kupasua katikati ya mabeki wa Burton, huku Nigel Clough akijaribu kumzuia katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England jana Uwanja wa Pirelli, Burton-upon-Trent mjini Staffordshire. Man City ilishinda 1-0, bao pekee la Sergko Aguero dakika ya 26 akimalizia pasi ya Riyad Mahrez, hivyo kufuzu kwa ushindi wa jumla wa 10-0 baada ya kushinda 9-0 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani na sasa itakutana na mshindi wa jumla kati ya Chelsea na Tottenham Hotspur zinazorudiana leo uwanja wa Stamford Bridge, London kufuatia Spurs kushinda 1-0 Wembley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the stunning moment AFL grand final performer pleads for help in the
middle of his song as he's hit by horror technical stuff-up at the MCG
-
Aussie music legend Mike Brady has endured a nightmare moment on stage at
the AFL grand final, with soundtrack issues flattening his performance of
Up Ther...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment