TIMU ya Azam FC leo imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mbeya Kwanza katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Na ni Azam FC waliolazimika kusawazisha kwa penalti kupitia kwa kiungo wao Mzimbabwe, Never Tigere dakika ya 35 kwa penalti baada ya William Edgar kuanza kuwafungia Mbeya Kwanza dakika ya 19
FCMB Group reports N79.3bn profit in H1’25
-
By Chinwendu Obienyi FCMB Group Plc (“FCMB Group”) has announced its
unaudited financial results for the six months ended June 30, 2025. The
Group report...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment