SHABIKI WA YANGA AFARIKI AJALINI AKIENDA ARUSHA KWENYE MECHI
UONGOZI wa Yanga umetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha shabiki wake ajalini jana akiwa safarini kuelekea Arusha kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya timu hiyo na Coastal Union leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
0 comments:
Post a Comment