Mshambuliji Abdul Ramadhani 'Mashine' (kushoto) na Twaha Hamidu 'Noriega' (kulia) wakifanya mazoezi katika kambi ya wiki ya Simba SC mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993. Simba iliweka kambi Nice kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF dhidi ya USM El Harrach ya Algeria. Simba ilikwenda kufungwa 2-0 Algeria na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya awali kushinda 3-0 Dar es Salaam.
Patrick and Brittany Mahomes spend Chiefs bye week VERY differently to
Travis Kelce and Taylor Swift with surprise appearance
-
As Travis Kelce and Taylor Swift opted to unwind with a meal in New York,
Patrick and Brittany Mahomes opted to spend their NFL bye week in different
circu...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment