Bondia Arnold Gjergjaj akipepesuka kuelekea chini baada ya kupigwa ngumi mfululizo na mpinzani wake David Haye katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa O2 mjini London, Uingereza. Haye alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili akimuangusha mara nne mpinzani wake huyo na sasa anaweza kurudi tena ulingoni Septemba kuzipiga na Mmarekani Shannon Briggs ambaye pia alishinda pambano lake usiku wa jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lane Kiffin stuns fans as he shares bizarre shirtless photo with female
yoga instructors just hours before game
-
Ole Miss took on Georgia in a massive SEC clash on Saturday - but Rebels
coach Lane Kiffin surprised fans hours before as he posted a shirtless
photo from ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment