Bondia Arnold Gjergjaj akipepesuka kuelekea chini baada ya kupigwa ngumi mfululizo na mpinzani wake David Haye katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa O2 mjini London, Uingereza. Haye alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili akimuangusha mara nne mpinzani wake huyo na sasa anaweza kurudi tena ulingoni Septemba kuzipiga na Mmarekani Shannon Briggs ambaye pia alishinda pambano lake usiku wa jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump says he ‘didn’t know’ about Ghislaine Maxwell transfer from prison to
Texas Club Fed: ‘I read about it just like you’
-
Maxwell remains in prison on a 20-year sentence for crimes committed with
Jeffrey Epstein
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment