Bondia Arnold Gjergjaj akipepesuka kuelekea chini baada ya kupigwa ngumi mfululizo na mpinzani wake David Haye katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa O2 mjini London, Uingereza. Haye alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili akimuangusha mara nne mpinzani wake huyo na sasa anaweza kurudi tena ulingoni Septemba kuzipiga na Mmarekani Shannon Briggs ambaye pia alishinda pambano lake usiku wa jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Simple photos sum up why eight million people are FURIOUS about State of
Origin
-
The NSW Blues came tantalisingly close to pulling off their biggest Origin
comeback ever in Perth on Wednesday night - but the close loss wasn't the
only t...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment