Kocha Pep Guardiola akijifuta machozi baada ya timu yake kushinda Kombe la Ujerumani kwa ushindi wa penalti 4-3 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Berlin, Ujerumani. Guardiola anaondoka Bayern Munich anahamia Manchester City ya England baada ya kumaliza msimu jana na mchezo huo ulikuwa wa mwisho kwake kuiongoza timu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
30 seriously good summer sale deals our shopping editors don't want you to
miss
-
From discounted streaming services to summer dress sales, here's the best
deals available to shop this week from the likes of Disney+, Amazon,
Dunelm, Debe...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment