Kocha Pep Guardiola akijifuta machozi baada ya timu yake kushinda Kombe la Ujerumani kwa ushindi wa penalti 4-3 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Berlin, Ujerumani. Guardiola anaondoka Bayern Munich anahamia Manchester City ya England baada ya kumaliza msimu jana na mchezo huo ulikuwa wa mwisho kwake kuiongoza timu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hulk Hogan's estranged daughter Brooke reveals why she snubbed WWE legend's
funeral
-
Hogan's devastated friends and family gathered at the Indian Rocks Baptist
Church in Largo, Florida to say their final goodbyes to the WWE legend
after his...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment