Kocha Pep Guardiola akijifuta machozi baada ya timu yake kushinda Kombe la Ujerumani kwa ushindi wa penalti 4-3 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Berlin, Ujerumani. Guardiola anaondoka Bayern Munich anahamia Manchester City ya England baada ya kumaliza msimu jana na mchezo huo ulikuwa wa mwisho kwake kuiongoza timu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🎥 Another masterclass from Lionel Messi last night 🤩
-
Finishing in style, definition.On the night of Saturday to Sunday, over in
the United States, the final day of the MLS regular season was played.Inter
Miam...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment