Mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake Southampton dakika za 28, 57 na 68 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Manchester City Uwanja wa St. Mary's katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo. Bao lingine la Watakatifu limefungwa na Shane Long dakika ya 25, wakati ya City yamefungwa na Mnigeria Kelechi Promise Iheanacho dakika za 44 na 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New Rangers dawn as far away as ever in European Groundhog Day
-
Rangers' resurrection under new regime still feels a pipe dream after
latest European defeat, writes BBC Scotland's Scott Mullen.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment