Beki wa kushoto wa Liverpool, James Milner akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi timu yake kwa penalti dakika ya 84 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Liberty. Swansea walitangulia kwa bao la Leroy Fer dakika ya nane, kabla ya Roberto-Firmino kusawazisha dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Son Heung-min says goodbye to Tottenham as club legend reads emotional
letter to fans after completing record-breaking move to LAFC
-
Tottenham Hotspur officially confirmed the departure of club legend Son
Heung-min on Wednesday evening by sharing a video of the 33-year-old saying
goodbye.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment