Beki wa kulia wa Crystal Palace, Joel Ward akimdhibiti mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park. Lukaku alianza kuifungia bao la Everton kablaa ya Christian Benteke kuisawazishia Palace timu hizo zikitoka sare ya 1-1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why this photo signalled the beginning of the end for Simon Goodwin at the
Melbourne Demons
-
Goodwin took the Dees to victory in the 2021 grand final, giving the
storied club its first premiership since 1964 - but it wasn't enough to
save his job o...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment