Beki wa kulia wa Crystal Palace, Joel Ward akimdhibiti mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park. Lukaku alianza kuifungia bao la Everton kablaa ya Christian Benteke kuisawazishia Palace timu hizo zikitoka sare ya 1-1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🚨 Out of the blue, Bundesliga club changes its badge
-
The top match between VfL Wolfsburg and FC Bayern is already creating
plenty of storylines before kickoff. After it became public ahead of the
game that Di...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment