Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akiteleza uwanjani kushangilia baada ya kufunga mabao mawili Manchester United, moja kwa penalti katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Fenerbahce ya Uturuki kwenye mchezo wa Kundi A Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yalifungwa na Anthony Martial kwa penalti na Jesse Lingard, wakati la wageni lilifungwa na nyota wa zamani wa Mashetani hao Wekundu, Robin van Persie PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Gordon has not scored or assisted for NINETEEN Premier League
games... but CRAIG HOPE reveals why Newcastle insiders are not worried, his
honest talks with Eddie Howe and the strange motivational technique the
England star will use
-
Gordon revealed in the summer that he needs something to go wrong to come
back stronger. 'I need to make it personal with myself,' he told me in
Seoul.
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment