Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akiteleza uwanjani kushangilia baada ya kufunga mabao mawili Manchester United, moja kwa penalti katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Fenerbahce ya Uturuki kwenye mchezo wa Kundi A Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yalifungwa na Anthony Martial kwa penalti na Jesse Lingard, wakati la wageni lilifungwa na nyota wa zamani wa Mashetani hao Wekundu, Robin van Persie PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Atletico Madrid believe Barcelona target could leave; sale possible if high
offer arrives
-
In what could be a big boost to FC Barcelona’s transfer plans, journalist
Pedro Fullana of Cadena SER reports that Atletico Madrid are starting to
believe ...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment