Julitha Kabethe, Mwakilishi wa Tanzania katika shindano la Miss Afrika, linalotarajiwa kufanyika kesho mjini Calabar, Cross River, Nigeria akiwa kwenye bwawa la kuogelea mjini Calabar jana wakati wa usaili wa mwisho kabla ya shindano
Julitha Kabethe akiwa na vazi la Kimasai, kabila maarufu nchini Tanzania
Julitha Kabethe yuko tayari kuchuana na vimwana wengine 17 barani kuwania taji la Miss Afrika kesho
0 comments:
Post a Comment