David Haye (kushoto) akimrushia ngumi mpinzani wake, Tony Bellew baada ya kushindwa kuvumilia 'maneno ya shombo' aliyokuwa anatupiwa wakati wa kutambulisha pambano lao lisilo la ubingwa uzito wa Heavy leo litakalofanyika Machi 4 mwakani ukumbi wa O2 Arena, London. Ngumi hiyo haikumpata Bellew na mara moja wawili hao walitenganishwa na kubaki kupigana kwa maneno hadi wanaondoka eneo la tukio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the touching Billy Slater dressing room act that speaks volumes about
his scandal-plagued State of Origin week
-
The Queensland coach had one of the most stressful build-ups to a match in
his long career as his job hung by a thread in Perth on Wednesday night.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment