David Haye (kushoto) akimrushia ngumi mpinzani wake, Tony Bellew baada ya kushindwa kuvumilia 'maneno ya shombo' aliyokuwa anatupiwa wakati wa kutambulisha pambano lao lisilo la ubingwa uzito wa Heavy leo litakalofanyika Machi 4 mwakani ukumbi wa O2 Arena, London. Ngumi hiyo haikumpata Bellew na mara moja wawili hao walitenganishwa na kubaki kupigana kwa maneno hadi wanaondoka eneo la tukio PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Footage shows Stephen A. Smith squirming next to angry Jerry Jones during 
Cowboys loss to the Cardinals
                      -
                    
Smith was seated right next to Jones during the opening stages of Monday 
Night Football but that meant he had to watch the Cowboys' early struggles 
alongsi...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment