Ubao ukionyesha mabao 12 ya rekodi yaliyofungwa usiku wa jana katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya wenyeji Borussia Dortmund wakiifunga 8-4 Legia Warsaw ya Poland Uwanja wa Westfalen. Mabao ya Dortmund yalifungwa na Shinji Kagawa mawili dakika za 17 na 18, Nuri Sahin dakika ya 20, Ousmane Dembele dakika ya 29, Marco Reus dakika za 32, 52 na 92 na Felix Passlack dakika ya 81, wakati ya wageni yalifungwa na Aleksandar Prijovic mawili dakika ya 10 n 24, MichaÅ‚ Kucharczyk dakika ya 57 na Nemanja Nikolics dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Smith scores 20 as Central Connecticut takes down VSU-Johnson 117-55
                      -
                    
NEW BRITAIN, Conn. (AP) — Darin Smith Jr.'s 20 points helped Central 
Connecticut defeat Vermont State-Johnson 117-55 on Monday.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment