Waziri kivuli wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Joseph Osmund Mbilinyi, Mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini (CHADEMA) (kulia) akiwa na Mbunge wa Mikumi Joseph Haule jana wakati wa uzinduzi wa Kombe la Profesa Jay uliohusisha mchezo kati ya Buffalo FC kutoka kijiji cha Doma dhidi ya timu ya Magomeni Stars kutoka kata ya Magomeni. Buffalo FC ilishinda 2-0. Mbilinyi maarufu kama Sugu na Haule anayefahamika pia kama Profesa Jay wote ni wasanii wa zamani wa Hip hop.
Brock Lesnar makes controversial return to WWE after two years in exile to
confront John Cena at SummerSlam
-
After two years in exile due to his alleged involvement in the Vince
McMahon lawsuit, Brock Lesnar returned to WWE programming at SummerSlam to
confront Jo...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment