Waziri kivuli wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Joseph Osmund Mbilinyi, Mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini (CHADEMA) (kulia) akiwa na Mbunge wa Mikumi Joseph Haule jana wakati wa uzinduzi wa Kombe la Profesa Jay uliohusisha mchezo kati ya Buffalo FC kutoka kijiji cha Doma dhidi ya timu ya Magomeni Stars kutoka kata ya Magomeni. Buffalo FC ilishinda 2-0. Mbilinyi maarufu kama Sugu na Haule anayefahamika pia kama Profesa Jay wote ni wasanii wa zamani wa Hip hop. 
What time should Bonfire Night fireworks end before you can make a 
complaint?
                      -
                    
As Britons prepare to celebrate Bonfire Night on 5 November, here are some 
key rules on using fireworks in the UK.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment