Wachezaji wa Monaco wakishangilia baada ya kuifunga Tottenham Hotspur mahal 2-1 katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana nchini Ufaransa. Mabao ya Monaco yalifungwa na Djibril Sidibe dakika ya 48 na Thomas Lemar dakota ya 53, wakati la Spurs lilifungwa na Harry Kane kwa penalti dakika ya 52. Kwa matoneo haya Spurs inakuwa time ya kwanza ya England kutolewa Ligi ya Mabingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees fans demand Aaron Boone is fired as season hits new low and stands
of the brink of catastrophe
-
New York Yankees fans are demanding Aaron Boone is fired as season hits a
new low and stands of the brink of catastrophe following the franchise's
sweep at...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment