Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza akitokea benchi katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sunderland leo Uwanja wa Anfield. Bao la pili lilifungwa na James Milner kwa penalti, baada ya Sadio Mane kuangushwa. Na kwa matokeo hayo Liverpool inarejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikifikisha pointi 30 sawa na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daniel Levy hits back at his critics in rare interview as Tottenham chief
sends warning to his club's fans and reveals why he sacked Ange Postecoglou
and hired Thomas Frank
-
Just 16 days after leading Spurs to a Europa League triumph Postecoglou was
sacked, and replaced by long-time Brentford boss Thomas Frank.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment