Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza akitokea benchi katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sunderland leo Uwanja wa Anfield. Bao la pili lilifungwa na James Milner kwa penalti, baada ya Sadio Mane kuangushwa. Na kwa matokeo hayo Liverpool inarejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikifikisha pointi 30 sawa na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Smith scores 20 as Central Connecticut takes down VSU-Johnson 117-55
                      -
                    
NEW BRITAIN, Conn. (AP) — Darin Smith Jr.'s 20 points helped Central 
Connecticut defeat Vermont State-Johnson 117-55 on Monday.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment