Kocha Pep Guardiola akimpongeza shujaa wake, Sergio Aguero (kulia) baada ya kufunga mabao yote mawili ya Manchester City katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Burnley leo Uwanja wa Turf Moor kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bal la wenyeji lilifungwa na Dean Marney PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emotional Liverpool legend Graeme Souness on the verge of tears as he opens
up about supporting 'beautiful' young girl, 13, with 'the cruellest' skin
condition
-
The Scotsman appeared on Good Morning Britain with hosts Susanna Reid and
Ed Balls to discuss the skin condition epidermolysis bullosa.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment