Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza kwa penalti Real Madrid dakika ya tano katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sporting Gijon leo Uwanja wa Bernabeu. Ronaldo alifunga na la pili dakika ya 18 wakati la Gijon lilifungwa na Carlos Carmona dakika ya 35, huku Duje Cop akiikosesha bao la kusawazisha timu yake kwa kukosa penalti dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce goads Bills fans as he walks into locker room hurt from a
massive hit by rival
-
The Kansas City Chiefs tight end left the field a few seconds before his
teammates and the halftime interval on Sunday, having taken a brutal hit to
the ch...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment