Mshambuliaji wa Manchestr United, Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 35 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Kundi A na kuweka rekodi ya mchezaji aliyewafungia mabao mengi kihistoria Mashetani Wekundu kwenye michuano ya Ulaya kwa kufikisha mabao 39. Mabao mengine ya United yalifungwa na Juan Mata dakika ya 69, Brad Jones aliyejifunga dakika ya 75 na Lingard dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
What time should Bonfire Night fireworks end before you can make a 
complaint?
                      -
                    
As Britons prepare to celebrate Bonfire Night on 5 November, here are some 
key rules on using fireworks in the UK.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment