Antoine Griezmann akipongezwa baada ya kuifungia bao la pili Atletico Madrid katika ushindi wa 2-0 dhidi ya PSV Eindhoven kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Vicente Calderon mini Madrid haiku wa jana. Bao lingine la Atletico ambayo inaungana na Bayern Munich kusonga mbele kutoka kundi hilo lilifungwa na Kevin Gameiro PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daniel Levy hits back at his critics in rare interview as Tottenham chief
sends warning to his club's fans and reveals why he sacked Ange Postecoglou
and hired Thomas Frank
-
Just 16 days after leading Spurs to a Europa League triumph Postecoglou was
sacked, and replaced by long-time Brentford boss Thomas Frank.
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment