Mshirikishi wa shindano la Miss Afrika, Julitha Kabete (wa tatu kulia), akiwa na wazazi wake na ndugu na jamaa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam baada ya kuwasili kutoka Nigeria alipokwenda kushiriki shindano la Miss Afrika na kufanikiwa kuingia tano bora Jumamosi.
Lagos urges calm after over 12 hours of heavy rainfall, tells residents to
be at alert
-
By Lukman Olabiyi Lagos State Government has appealed for calm among
residents following more than 12 hours of continuous heavy rainfall across
the state...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment