WAKUU WAPYA WA IDARA YA UFUNDI YANGA WALIVYOANZA KAZI PAMOJA LEO
Kocha mpya wa Yanga, Mzambia George Lwandamina (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa Ufundi wa klabu, Mholanzi Hans van der Pluijm leo asubuhi wakati wa mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Lwandamina (wa pili kulia) akizungumza na Wasaidizin wake, Meneja Hafidh Saleh kulia, Kocha Msaidizi, Juma Mwambusi na Mtunza Vifaa, Mohammed Omar 'Mpogolo'
Lwandamina aliongoza mazoezi ya Yanga kwa mara ya kwanza leo baada ya kujiunga na timu kutoka Zesco ya kwao mapema mwezi huu
Wachezaji wa Yanga wameanza mazoezi leo baada ya mapumziko ya takriban wiki tatu kufuatia kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu
Digie own goal sees Leyton Orient beat Tamworth
-
League One Leyton Orient progress to the second round of the FA Cup after
beating National League Tamworth 1-0, thanks to Kennedy Digie's own goal.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment