Mcheza chipukizi wa Brazil, Gabriel Jesus (kushoto) baada ya kuwasili mjini Manchester jana, miezi mitatu tangu akubali kuhamia klabu ya Manchester City ya England kutoka Palmeiras ya kwao. Mshambuliaji huyo aliyesaini Man City mwanzoni mwa msimu, kwa wiki atakuwa mjini humo kufahamiana na wachezaji wenzake wapya kisha ataondoka kabla ya kurejea Januari kuanza kazi rasmi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roy Keane blames Liverpool star for Virgil van Dijk's controversial
disallowed goal in Man City clash - as Micah Richards claims decision was
'harsh'
-
Van Dijk thought he had equalised for his side when he headed in Mohamed
Salah's corner, only for the referee to blow up for an offside offence -
which saw...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment