Mcheza chipukizi wa Brazil, Gabriel Jesus (kushoto) baada ya kuwasili mjini Manchester jana, miezi mitatu tangu akubali kuhamia klabu ya Manchester City ya England kutoka Palmeiras ya kwao. Mshambuliaji huyo aliyesaini Man City mwanzoni mwa msimu, kwa wiki atakuwa mjini humo kufahamiana na wachezaji wenzake wapya kisha ataondoka kabla ya kurejea Januari kuanza kazi rasmi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CALUM McCLURKIN: Chester chaos presents plenty of grounds for concern in a
week filled with farce
-
The May election for the Scottish Parliament were labelled 'the Meh'
elections this week due to the level of public disillusionment with
politics in Holyrood.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment