Mcheza chipukizi wa Brazil, Gabriel Jesus (kushoto) baada ya kuwasili mjini Manchester jana, miezi mitatu tangu akubali kuhamia klabu ya Manchester City ya England kutoka Palmeiras ya kwao. Mshambuliaji huyo aliyesaini Man City mwanzoni mwa msimu, kwa wiki atakuwa mjini humo kufahamiana na wachezaji wenzake wapya kisha ataondoka kabla ya kurejea Januari kuanza kazi rasmi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Geoff Lewis, jockey who rode Mill Reef to glory in the Derby and Prix de
l’Arc de Triomphe
-
Geoff Lewis, who has died aged 89, reached the pinnacle of his career as a
jockey in 1971, when he rode Mill Reef to win the Derby, Eclipse, King
George VI...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment