Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia na taji lao la Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA baada ya kuifunga mabao 4-2 Kashima Antlers leo Uwanja wa Nissan mjini Yokohama, Japan katika mchezo uliodumu kwa dakika 120 baada ya dakika 90 kwisha kwa sare ya 2-2. Mabao ya Real yalifungwa na Karim Benzema dakika ya tisa na Cristiano Ronaldo matatu dakika za 60 kwa penalti, 97 na 104 wakati ya Kashima yalifungwa na Gaku Shibasaki yote dakika za 44 na 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The financial sacrifices Jack Grealish has made to push through
loan move to Everton from Man City... with England star going 'above and
beyond'
-
Grealish underwent his Everton medical on Sunday, ahead of signing on
Monday, eager to put himself in contention to face Leeds United in the
club's Premier...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment