Bondia Chris Eubank Jr (kushoto) akimuangalia mpinzani wake, Mturuki Avni Yildirim aliyelala chini kulia baada ya kumuangusha raundi ya tatu tu katika pambano la kuwania ubingwa wa dunia wa IBO uzito wa Super Middle usiku wa jana kwenye ukumbi wa Hans-Martin-Schleyer Halle Jijini Stuttgart, Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Early tallies show Catherine Connolly surging ahead in Irish presidential
poll
-
Counting began across the country at 9am on Saturday.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment